





Kuna maswali mengi najiuliza mwenyewe hapa bila majibu.Hii meli nasikia ilikuwa ya mizigo kwa nini ilipakia abiria?Tena abiria wengi namna hiyo?ajali imeshatokea naamini waliofanya uzembe huo watawajibishwa kwa mujibu wa sheria lakini kama watanzania tunawajibika kufanya jambo litakalosaidia kwa siku zijazo.