Deejay_Ezecking ..............

2 getha we can do more................

Monday, November 21, 2011

NAKO2NAKO WAKERA MASELA HAPA A TOWN....MAUDHAIFU YA N2N KUTOKA KWA MASELA..HAYO HAPO CHIN SOMA...NA YASEMEKANA VATOLOCO TEGEMEO LA HIP HOP ARUSHA.





yasemekana badala ya nako 2 nako kushindwa kuiwakilisha arusha ki hip hop machizi wa mtaani wamesema kwasasa wamekubali kua mavato kwasababu nako imesambaratika kutokana na kutofautiana kiarakati,ambapo masela wamesema hawafurahishwi na vitu vifuatavyo kutoka kwa n2n, kuwashobokea wabongo na mademu na kusababisha kutofanya kazi kikamilifu,kusujudia ma dj na watangazaji,kuto saidia underground,kushoboka kufanya featuring na mc wa bongo fleva,mcz wadogo wamejiuliza kwanini watolewe na mabongofleva wakati wao ndio walitakiwa wawa bebe mfano dogo janja katolewa na tip top wakati nako walikua na nafasi kubwa ya kumtoa,wameusaau uArusha,wamesaliti geto, wanajifanya hip hop kumbe mabongo fleva, pia masela wamesema fananisha nyimbo ya ndio zetu na nyimbo nyingine zinazo toka sasa ndipo utaona jinsi hawa machizi walivyo kua masoro,pia wanamkubali IBRA da husla kwani wamesema wana hisi yeye ndiye alikua hip hop kwa sana katika kundi lile wamesema fananisha vato na nako kwa sasa alafu useme nani hip hop? .pia wamesema wanasikitishwa sana na G nako kua mziba kiraka wa Joh makini pindi anapokua kazini na kumfananisha na......."neno limezuiliwa kwaajili ya kupunguza makali". hicho ndio kilio cha masela juu ya nako2nako ...selaa mmoja kaskauri BU nako aame nako 2 nako hiyo sio sehemu yake,,,..nimtazamo tuu wa masela.................
Arachuga hip hop drink..................

No comments:

Post a Comment