Deejay_Ezecking ..............

2 getha we can do more................

Sunday, January 15, 2012

Lady fire toka Jambo Squad na "sidanganyiki"



Ladyfire,Msanii wa kike katika fani ya hiphop anakuja na "sidanganyiki",pini la kuwakandia mafataki na tabia zao chaf za kurubuni wasichana wa shule.Akiwa kama Hiphop mc wa kike from arachuga,lady fire anawaasa wenzake kuwa makini sana maana maisha hayajirudii,"kila mmoja anapaswa kujua kwamba mafataki wanachangia sana katika kuwaharibia madem wengi maisha,ndio mana kupitia nyimbo ii nlorekodi pande za noizmekah.com nimecheza nafasi ya msichana asedanganyika.much love kwa ma brothers wote from Jambo squad kwa kunipa shavu hili na producer wangu na mashabiki zangu wote,nawapendaga sana aseeeeeeee..........

NiggaC toka jambo squad awapa fasi vatoloco the red ku-ngastuka!!



Mtoto wa bibi a.k.a. chalii chaplin a.k.a. mong'oo inchaji vema zaidi kama niggaC toka Jambo squadere sedere bidengere biae full papi haina manjota kwa fas mpaka mbulu kwa mama lulu tam kk mtori sio chungu ka ngorotii anakam tena round ii kwa kishindo na machiz wa vatoloco the red a.k.a ka kang kang!..ndani ya remix version ya track ya "ngastuka" ambayo imerekodiwa chini ya producer dx a.k.a defxtro pande za noizmekah.com arusha,'Humu ndani kama kawaida 2mewachana maraia viongozi wa nchi wanaofisidi na kutuuza asee,ni full machungu na hatuachi kuwalalamikia mpaka mabadiliko ya ukweli yaje!ooooooooooooooiiii

GhettoDiva anahitaji Boy!!!!!

Rappa Ghettodiva a.k.a. GHeTtODiDiz anafungua mwaka kwa kusema "Need A Boy",Ngoma inayozungumzia jinsi gani manzi hardcore anataka mchizi wake,yaani boyfriend awe,Ghettodiva akiwa ni msanii rappa wa kike mwenye maskani yake pande za Arachuga,asema "Nafaham title ya track ina kautata flan but its exactly what me n ma producer thought would fit best ayo mashairi apo ndani so much love to ma producer pande za noizmekah.com,my family including "Junior" and all ma fanz,katika game y'all are ma family and bila ninyi hakuna mimi,otherwise mbali na hii single niloachia,natarajia kutembelea nchi jirani ya Kenya kufanya kazi na wasanii wa kule katika kukuza career yangu!

Ghettodiva a.k.a GeRoDidiz aja na DICTATION........


Ghetto diva asema "u gatta pay attention to this,hizi flow zafanya watu wadata na dictation zangu dunia nzima zatanda so write it down! "nimerecord ii track juu ya beat ya producer mosco wa majengo arusha,vocals kasimamia defxtro pande za noizmekah.com na mixing so ma fans wote wa hiphop wajue GD bado niko hai kimziki ni mkimbizano na maisha hapa na pale tuko pamoko,shout out kwa mahomiez freelodaz pande za masaki,media personel zote TZ na EastAfrica kiujumla i Love y'All...

Moplus na Tshirt za "MoveMent".........



Hiphop MC Moplus,baada ya kuachia ngoma ya "movement" alowashirikisha Adomido pamoja na SlimDizzy,Ngomailopokelewa vema tu katika media kadhaa nchini,sasa amewapa nafasi mashabiki zake wote kunyuka Tshirt za "MoveMent" kwa elf kumi tu!!!!'asema "Project zangu za kimziki nazifanya kwakuwashirikisha wadau na mashabiki zangu ambao kwa ujumla ndio jamii kwa pamoja,I love ma people coz they Love me!Much love kwa Vinega juzkati kutupa burudani katika Antivirus show,nilijifunza kwamba Artists/Mcs especially wa hapa arusha tunatakiwa kuungana na kufanya kazi kwasababu maslahi yapo sana,ni nidhamu na bidii imekaa kushoto otherwise we all get support from our fans,radio zisitudalalie wala kutugawa,join the movement!!!MUZIKI UNALIPA...

AdoraboMc ft Mosco & Moplus-Oh Life.......


AdoraboMc,msanii wa hiphop toka arusha pande za ungalimited,ambaye pia yumo katika kundi la mgombaz niggaz anakuja na new pini aloipa jina "oh life",humu ndani kawashirikisha Mosco & Moplus,Ikiwa ni project single ya kuukaribisha mwaka 2012,ngoma hii tumezungumzia maisha ki concious zaidi,Mosco kanyonga beat na vocal mixing kasmama Defxtro.Holla to all ma fans,maproject yatayofata baada ya hii ngoma ni pamoja na "Next step" ambayo pia tumegongea pande za noizmekah.com...