
Baada ya kutoka kwa video mpya ya Joh Makini BYE BYE mmiliki wa studio ya B'Hits Hermer Tyrol Lyimo aka Hermy B amekuja juu na kuandika maneno hayo hapo chini kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Joh Makini You Have Officially Pissed Of B'Hits, Wimbo wa bye bye tulikupa bure baada ya kutujibu kwa dhihaka tulipodai malipo yetu, Hata kutupa Credit zetu kwenye video umeona kazi pia, ama kweli shukrani ya punda ni mateke, we mtu gani? Kumbuka ulipotoka!!! Kumbuka Enzi za Magic Fm!!!
No comments:
Post a Comment