Deejay_Ezecking ..............

2 getha we can do more................

Wednesday, November 23, 2011

MARK MUSHI WA ITALY... Msanii na Prodyuza anayepania kuja kuwafuta machozi wasanii Bongo!!

Maliki Mushi aka Mark.Mushi wa Italy ambaye ni msanii anayepiga mishe zake huko Italy huku akiendelea na mafunzo yake ya U-Prodyuza amesema anakuja Bongo kuwashika, akiwasiliana kwa karibu sana ya blog yake hii ya deejayezecking, Mark anakuja Bongo kufungua bonge ya Studio itakayokwenda kwa jina la MARANGU RECORDS ambapo inaonekana maskani yake kubwa kuwa pande za A Town.



Mark tayari amesha record single yake inayoitwa "Futeni machozi". Ktk Single hiyo aliyoifanyia Italy Mark amewaasa wasanii wa mziki hasa wa Bongofleva kufuta machozi kwani mkombozi wao anakuja na atasikiliza kilio chao.
Pia Mark anaonekana kuhusudu sana kazi zinazofanywa na Marco Chali, so mdau tutegemee mikono mikali sana ya level zilezile kutoka kwa Prodyuza mpya wa Marangu Recordz Mark Muitalianooooooo

Mark akiwa ktk pozi nchini Italia.
blog yako ya deejayezecking itaendelea kuwaletea picha za matukio mbalimbali ya Mark Muitaliano ktk pozi, hivi karibuni.