Mark tayari amesha record single yake inayoitwa "Futeni machozi". Ktk Single hiyo aliyoifanyia Italy Mark amewaasa wasanii wa mziki hasa wa Bongofleva kufuta machozi kwani mkombozi wao anakuja na atasikiliza kilio chao.
Pia Mark anaonekana kuhusudu sana kazi zinazofanywa na Marco Chali, so mdau tutegemee mikono mikali sana ya level zilezile kutoka kwa Prodyuza mpya wa Marangu Recordz Mark Muitalianooooooo
blog yako ya deejayezecking itaendelea kuwaletea picha za matukio mbalimbali ya Mark Muitaliano ktk pozi, hivi karibuni.