Mwanadada TigerEyes toka hapa Ara-chuga anawaasa madem wote wanaofanya game wakaze buti mana yuko tight zaidi maelezo yani no mboyoyo hapa,"hakuna kulaza damu wala kusoundisha raia,niko serious sana na mziki chalaangu" asema nemy a.k.a TigerEyes mwanadafada anaye rap,kuimba na kudance katika crew la "NewKings" toka Arusha..."Noizmekah kwa dx ndo niliporekodia ngoma yangu hii ya "Grind on", beat ameunda producer Mosco ambae ameunda beat na vocal kasmamia bro dx mpaka ngoma kukamilika na kuwafikia wadau ma mashabiki zangu wote tanzania na dunia nzima,Sasa nakarbia kumaliza masomo ya chuo so nitakua full full hewani mithili ya noizmekah.com..Heshima tele ziende kwa Mungu kuniweka hai na my Mama kwa kunisuport katika muzik plus maproducer wangu kwa kuni guide na kunishauri...
Deejay_Ezecking ..............
2 getha we can do more................
Monday, January 16, 2012
HAMMY B WA B HITS ......KAMDISS JOH MAKINI KASEMA HANA SHUKRANI TATIZO NININI AISEEEE....

Baada ya kutoka kwa video mpya ya Joh Makini BYE BYE mmiliki wa studio ya B'Hits Hermer Tyrol Lyimo aka Hermy B amekuja juu na kuandika maneno hayo hapo chini kwenye ukurasa wake wa Facebook.
Joh Makini You Have Officially Pissed Of B'Hits, Wimbo wa bye bye tulikupa bure baada ya kutujibu kwa dhihaka tulipodai malipo yetu, Hata kutupa Credit zetu kwenye video umeona kazi pia, ama kweli shukrani ya punda ni mateke, we mtu gani? Kumbuka ulipotoka!!! Kumbuka Enzi za Magic Fm!!!
Producer Mosco wa PYG Majengo pande za ARA..................

Machalii ya ArA Ndugu pacha na Jambo squad wanaofahamika zaidi kama MAALMANDO,wanakuja na pini brand new la "RAKATA" ikiwa ni genre ya kwaito-mdundix ikiwa ni brand new style mojawapo wanayokuja nayo machizi hawa wenye maskani yao pande za arachuga mtaa wa cheka na mecca!Ngoma tumerekodi kwa Defxtro a.k.a DX pande za noizmekah.com juu ya beat la producer Mosco wa PYG Majengo apa apa pande za ARA,Maalmando tunawaahidi fans wetu mwendelezo mnene katika muziki huu mwaka 2012 na mpango mzima ni hela so tuendeleze hasoling kusakanya dinari arif...oooooooi MEKACHEKA Style 4LIFE....
Rakatatata (Mosco.NOIZ).............
MAALMANDO toka Arachugga na pin brand new "RAKATA".......
Subscribe to:
Posts (Atom)