Deejay_Ezecking ..............

2 getha we can do more................

Thursday, November 11, 2010

JAMBO SQUAD a.k.a watoto wa bibi





The kaskazini dream team hata mimi nime(Ngastuka) arifuu.
Kama umeshaisikia track yangastuka kama wewe nimkazi wa kaskazini basi hawa ndo mcz walio stuka arifuu.Track hiyo iliyo tengenezewa ndani ya studioz za Grand master chini ya producer John B. hakika kaskazini tumestuka

Kutoka noizmekah Sha bang na Banx



Ni sha bang the genius a.k.a matejo king toka River camp soldiers na banx direct from Noizmekah studios iliyopo chini ya D 2the X.(DX)
Sha bang kasha fanya traki kadhaa: mf: Uwezo faet G nako na nyingine alifanya na banx mwenyewe,pia kafanya Media zina njaa feat G nako.nanyingine kibao he is direct from River camp