Wakati Watanzania wengi wameanza kupata mwamko na idadi ya watu kuongezeka kutoka nyakati za usiku katika kumbi mbal;i mbali za starehe,vijana wa pro-24 dj wamejidhatiti kwa ajili ya kukata kiu kwa watu ote ama wadau wa burududani nyakati zote usiku na mchana..
Ni vijana ambao naweza sema gumzo hv sasa hapa Tanzania kwanza ni vijana ambao wanajua mziki nini na wanajua mdau wa muziki anataka nini..na wakati gani..
Mdau akiwa amejipatia zawadi kutoka kwa pro24djs
Kwanza style ya upigani wao muziki ni tofauti kabisa,aina ya vyombo wanavyotumia ni vya kisasa kabisa..
kutana nao kila Jumatano pale masai club...kuanzia saa 3 hadi kukuche Alhamisi kutana na Club Billicanas kuanzia saa 3 usiku hadi uchoke wewe mwenyewe maana ni usiku wa akina dada..kutana na dj tass naye anaporomosha ngoma ndani ya savannah lounge & bar ambapo kila mdau wa burudani anajua na si swali kabisaaa...kwa wakazi wa arusha kutana nao pale via via kwenye saturday night fever,hapa utapata techno,house,dance,kwaito,r&b - hip hop,na nyingine kibao usikoe uhondoo huuu...
Ni vijana ambao naweza sema gumzo hv sasa hapa Tanzania kwanza ni vijana ambao wanajua mziki nini na wanajua mdau wa muziki anataka nini..na wakati gani..
Mdau akiwa amejipatia zawadi kutoka kwa pro24djs
Kwanza style ya upigani wao muziki ni tofauti kabisa,aina ya vyombo wanavyotumia ni vya kisasa kabisa..
No comments:
Post a Comment