Deejay_Ezecking ..............

2 getha we can do more................

Tuesday, January 17, 2012

DULLY SYKES AFUNGUA STUDIO YA PILI HUKO TABATA.........


Mwanamuziki Dully Sykes afungua studio nyingine,Mambo yamemkalia pazuri staa wa Bongo Fleva, Abdul Sykes ‘Dully’ baada ya kufungua studio mpya ya kurekodi muziki.Studio hiyo aliyoipa jina la 4.12, ipo Tabata, Dar es Salaam na itakuwa ikirekodi aina zote za muziki.,Pamoja na matangazoStudio hiyo ni ya pili baada ya ile ya Dhahabu Records ambayo mwanamuziki huyo aliifungua zaidi ya miaka minne iliyopita.imeelezwa kuwa studio hiyo itafanya kazi kwa kujitegemea, ikiwa na maprodyuza wake wenye uwezo mkubwa.Imebainishwa kwamba kwa upande wake (Dully), atakuwa anapiga mzigo kwenye studio zote hizo kulingana na matakwa ya wateja wake...

No comments:

Post a Comment