STOPAAAAAAAAAAA the legendary kufanya kazi na Dogo VJ ndani ya NOIZMEKAH chini ya D to the X kama anavyo sema shabang

Ni Jarome Frank a.k.a Stopa Rhymes the hip hop legendary kutoka street za fire tayari kasha achia songi la 'Na hustle' katika kazi hiyo amesimama na mzee wa kulalamika 'Rama D' na kwamba huo ni utambulisho wa albamu yake ya pili inayotarajiwa kuanguka kitaani hivi karibuni.
Kamaunakumbuka "Albamu yake ya kwanza iliitwa 'Shule ya Bure' na ilikuwa na ngoma kama 'Jiwe' aliyomshirikisha Nature, Staili tatu niliyosimama mwenyewe na nyingine kibao.
Sasa stopa kafanya kazi ya kushirikishwa na Dogo VJ ndani ya studios za Noizmekah Hapa hapa ARUSHA chini ya producer aliyeipeleka ARUSHA to the next level (DX),
dogo VJ anayesumbua pande za kaskazini na anayesemekana mkali zaidi ya YOUNG DEE.Dogo VJ mwenye track kadhaa zenye punch heavy aliyebaatika kufanya kazi na Mcs wakubwa kaskazini Mfano.Stopa,G nako(nako 2 nako),man batoo,toldo,DX,Finga luu,Donii, na wengine kibaooo. Hakika kazi aliyofanya na stopa ni balaa isake usikilize na ulinganishe punch.Inaitwa Afrika kwanza
No comments:
Post a Comment