Deejay_Ezecking ..............

2 getha we can do more................

Sunday, November 21, 2010

STOPAAAAAAAAAAA the legendary kufanya kazi na Dogo VJ ndani ya NOIZMEKAH chini ya D to the X kama anavyo sema shabang



Ni Jarome Frank a.k.a Stopa Rhymes the hip hop legendary kutoka street za fire tayari kasha achia songi la 'Na hustle' katika kazi hiyo amesimama na mzee wa kulalamika 'Rama D' na kwamba huo ni utambulisho wa albamu yake ya pili inayotarajiwa kuanguka kitaani hivi karibuni.

Kamaunakumbuka "Albamu yake ya kwanza iliitwa 'Shule ya Bure' na ilikuwa na ngoma kama 'Jiwe' aliyomshirikisha Nature, Staili tatu niliyosimama mwenyewe na nyingine kibao.
Sasa stopa kafanya kazi ya kushirikishwa na Dogo VJ ndani ya studios za Noizmekah Hapa hapa ARUSHA chini ya producer aliyeipeleka ARUSHA to the next level (DX),
dogo VJ anayesumbua pande za kaskazini na anayesemekana mkali zaidi ya YOUNG DEE.Dogo VJ mwenye track kadhaa zenye punch heavy aliyebaatika kufanya kazi na Mcs wakubwa kaskazini Mfano.Stopa,G nako(nako 2 nako),man batoo,toldo,DX,Finga luu,Donii, na wengine kibaooo. Hakika kazi aliyofanya na stopa ni balaa isake usikilize na ulinganishe punch.Inaitwa Afrika kwanza

Yereeeeeeee hatuwezi sema we are back!kwasababu ukweli ni kwamba we never left the building,nako 2 nako soldiers we battle hard



Nako 2 Nako soldiers 2mewavalia haters magwanda,na ni vita tu raundi hii",wasema machizi hawa wasanii wa hiphop wenye maskani yao pale ololoo a.k.a kaloleni Hapa hapa aruruu,na wamekamilisha video shoot ya track zao mbili chini ya kampuni ya Hoodpixx videos arusha,audio moja ikiwa ni "ndani ya nyumba" toka Bhitz na nyingine "kati kati" toka noizmekah pro arusha.kazi hizi zimetumia mazingira tofauti tofauti ya Atown,viwanja kama club AQ na Empire sports bar huku machizi na warembo kibao kuwapa support machiz wa "nako2nako" katika parts mbalimbali,video ya "kati kati" itatangulia kutimba media ikifatwa na "ndani ya nyumba" itayoachiwa mwezi baadaye,lord eyes asema "hatuwez ruhusu majembe yafie mahabusu,chama kubwa N2N sitakubali tu "kiseserere" hivi hivi (kuseserere-kuanguka)...na Gnako pia anawasisitizia washabiki wa n2n "kaeni macho kupata real ting'az toka kwa wakubwa wa kazi" huku Bou Nako a.k.a "ODINARI" awapa mashabiki na wadau wa hiphop uhakika wa vioo hivyo viwili walivyoshoot kutesa katika media kwa maana ni video mbili matata za madudez,makopo na mipini ya ukweli,huku anacheka,lord alimalizia kwa kusema "hatuwezi sema we are back!kwasababu ukweli ni kwamba we never left the building,nako 2 nako soldiers we battle hard!".

Sunday, November 14, 2010

SITOMWACHA LYRICS BY STEVE R&B Featuring NGWEA


Verse 1: Steve r*b

nakuhitaji we baby
sina raha ukiwa mbali na mimi crazy yeah!
nakuhitaji milele
njoo tujipange wote milele
unipe malavidaviyazidi kilele yeah!
showty you drive me crazy yeah
showty you drive me crazy eeeeeh

Pre chorus
ukinibania ntaumia, utanifanya daily nalia nalia baby
sitovumilia vumila kwani moyo umekuchagua chagua weweX 2

Chorus

sitomwacha sitomwacha
huyu mtoto mzuri nikimpata
ananipagawisha pagawisha
anavyowaka uzuri wake kama taa

showty nikibalieee
showty niwe nawee X 2

Verse 2: Ngwea

yeah , cowbama na east zoo yooh, holla!
nizaidi ya zay b jinsi alivyo gado
huyu baby figure yake roll modal aah
anajiheshim anaheshimika kila angle
hakuna nachofeel kwake zaidi ya mapendo
sina mkataba nae bali nna malengo
anajua kuhandle (ahaaaa) hana skendo
body yake inakubali kila style ya pamba clssic million dolla smile
anauchanganya ubongo wangu ka bacteria
siku nisipo muona i feel sick, like malaria
sio mi wakwanza , nilianza toka enzi
wengi wamechanganyikiwa na mapenzi
she is so sexy yaani so amazing
she drives me crazy baby babyyyy

Repeat chorus

Verse  3: Steve

stojali mi ni wangapi
moyo unachojali girl nikumiliki wee
najihisi mwenye bahati
tuje tuishi wotee milele
hebu punguza hayo mapozi
twende fasta fasta mpaka kwa wazazi
girl you drive me vrazy
ooh you drive me crazy

Repeat pre chorus

Repeat chorus

Bridge: Steve

oooh oooh, baby ooooh oooohhh
(niwe naweee)
ooohhh ooohh baby, ooohh oohhh
(nikubaliee) x 4

Reapeat chorus x2

A- City in da houze!

A-Town kama mamtoni wanasema mabongo flavian-but nikweli sasa Ukitaka tatoo mwili mzima utapata but ur cash tuu usiogope ni cheap.








Thursday, November 11, 2010

JAMBO SQUAD a.k.a watoto wa bibi





The kaskazini dream team hata mimi nime(Ngastuka) arifuu.
Kama umeshaisikia track yangastuka kama wewe nimkazi wa kaskazini basi hawa ndo mcz walio stuka arifuu.Track hiyo iliyo tengenezewa ndani ya studioz za Grand master chini ya producer John B. hakika kaskazini tumestuka

Kutoka noizmekah Sha bang na Banx



Ni sha bang the genius a.k.a matejo king toka River camp soldiers na banx direct from Noizmekah studios iliyopo chini ya D 2the X.(DX)
Sha bang kasha fanya traki kadhaa: mf: Uwezo faet G nako na nyingine alifanya na banx mwenyewe,pia kafanya Media zina njaa feat G nako.nanyingine kibao he is direct from River camp